Jaji ajipiga risasi Mahakamani
Wachambuzi wa mambo wanasema mahakama za Thailand kila mara kuwapendelea matajiri na wenye madaraka, lakini huwa zinatoa hukumu za haraka na ngumu kwa watu wa kawaida kwa makosa madogo jambo ambalo majaji huwa hawalilalamikii.
Jaji huyo alikuwa amewaachia Waislam watano waliokuwa wakituhumiwa kwa kuua kutumia bunduki Ijumaa iliyopita ambapo baada ya kufanya hivyo alitoa bastola na kujipinga kifuani.
“Unatakiwa kuwa na ushahidi wa wazi na wenye kuaminika ili kumwadhibu mtu. Hivyo, kama huna uhakika, usimwadhibu,” alisema jaji huyo kortini hapo.
Jaji ajipiga risasi Mahakamani
Reviewed by Zero Degree
on
10/07/2019 07:20:00 AM
Rating: