Picha: Uzinduzi mkakati wa nishati safi ya kupikia
Viongozi, wadau na wananchi wakiwa katika hafla ya uzinduzi wa Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia 2024-2034.
Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Hafla hiyo inafanyika (leo) katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es salaam.
Kaulimbiu: “Nishati Safi ya Kupikia kwa kila Mtanzania @wizara_ya_nishati_tanzania
Picha: Uzinduzi mkakati wa nishati safi ya kupikia
Reviewed by Zero Degree
on
5/08/2024 01:25:00 PM
Rating: