Loading...

Matokeo ya uchaguzi wa rais wa Zanzibar

Wanawake ZanzibarImage copyrightZanzibar Electoral Commission
Image captionMaafisa wa kituo cha kuhesabia kura shehia ya Saateni, Zanzibar wakihesabu kura.
Tume ya Uchaguzi Zanzibar imetoa matokeo ya uchaguzi wa rais ambayo yamehakikiwa kutoka baadhi ya maeneo visiwani humo. Kufikia sasa tume hiyo imetangaza matokeo kutoa majimbo 13 kati ya 54.


Matokeo hayo yaliyokuwa yametangazwa kufikia saa tatu asubuhi Oktoba 27 ni kama ifuatavyo:
Matokeo ya uchaguzi wa rais Zanzibar (Majimbo13/54)
JinaChamaKuraAsilimia
Khamis Iddi LilaACT-W560.1
Juma Ali KhatibADA-TADEA520.1
Hamad Rashid MohamedADC1050.1
Said Soud SaidAFP800.1
Ali Khatib AliCCK1000.1
Ali Mohamed SheinCCM62,59561.3
Mohammed Massoud RashidCHAUMMA1070.1
Seif Sharif HamadCUF36,30235.5
Taibu Mussa JumaDM420.0
Abdalla Kombo KhamisDP320.0
Kassim Bakar AlyJAHAZI840.1
Seif Ali IddiNRA280.0
Issa Mohammed ZongaSAU540.1
Hafidh Hassan SuleimanTLP390.0
Zanzibar ina jumla ya wapiga kura 503,860 waliojiandikisha kupiga kura, kwa mujibu wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar.
Kwa habari zaidi kuhusu uchaguzi mkuu Tanzania bonyeza hapa uchaguzi: #tanzania2015

Credits: BBC
Matokeo ya uchaguzi wa rais wa Zanzibar Matokeo ya uchaguzi wa rais wa Zanzibar Reviewed by Zero Degree on 10/27/2015 01:09:00 PM Rating: 5

Powered by Blogger.