Loading...

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kilindi [ CCM ], Beatrice Shellukindo afariki dunia.


Beatrice Shelukindo.


Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kilindi Beatrice Shellukindo (CCM) ameaga dunia jana Jijini Arusha.

Akithibitisha kifo hicho Katibu wa CCM Wilaya ya Kilindi Mkoani Tanga, Hawa Nanganyau alisema marehemu ameugua tangu mwaka 2014 akisumbuliwa na tatizo la mgongo pamoja na miguu.

Beatrice mpaka anafikwa na umauti alikuwa ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu (NEC) kupitia Wilaya ya Kilindi.

Katibu huyo wa CCM amesema marehemu ameacha watoto watatu wote wa kiume na atazikwa siku ya Jumatano saa sita mchana jijini Arusha.


Source: Mwananchi
ZeroDegree.
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kilindi [ CCM ], Beatrice Shellukindo afariki dunia. Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kilindi [ CCM ], Beatrice Shellukindo afariki dunia. Reviewed by Zero Degree on 7/03/2016 10:58:00 AM Rating: 5

Powered by Blogger.