Loading...

Rais Magufuli aeleza sababu zilizosababisha aivunje bodi ya TRA.

Rais John Magufuli ameeleza sababu za kuivunja Bodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) kuwa ilitokana na bodi hiyo kuidhinisha mamlaka hiyo kuweka mabilioni ya fedha kwenye benki binafsi.

Novemba 20 mwaka huu Rais Magufuli alitengua uteuzi wa mwenyekiti wa bodi hiyo, Bernard Mchomvu na kuivunja hiyo bila kueleza sababu zozote.

Akizungumza leo wakati wa sherehe za mahafali ya Chuo Kikuu Huria yaliyofanyika Kibaha mkoani Pwani, Rais Magufuli amesema kuwa TRA walichukuwa fedha mabilioni na kuweka fixed account benki 8 binafsi na bodi ikaidhinisha.

ZeroDegree.
Rais Magufuli aeleza sababu zilizosababisha aivunje bodi ya TRA. Rais Magufuli aeleza sababu zilizosababisha aivunje bodi ya TRA. Reviewed by Zero Degree on 11/24/2016 01:12:00 PM Rating: 5

Powered by Blogger.