Loading...

Mama amwua binti yake mwenye miaka minne kisa ikiwa ni kutopiga mswaki

IRIS HERNANDEZ-RIVER (20) mwanamke mkazi wa Gaithersburg, Jimbo la Maryland, Marekani, alimwua binti yake, Nohely Alexandra Martinez Hernandez mwenye umri wa miaka minne kwa kutopiga mswaki.

Mama huyo alikasirishwa na kitendo hicho jana ambapo alimpiga teke la tumboni binti yake huyo na kusababisha binti huyo kudondoka na kugonga kichwa chake ukutani.

Ilimchukua Iris muda wa saa moja kupiga namba 911 ili binti yake apatiwe msaada ambapo Nohely alifikishwa hospitali akiwa mahututi na baadaye kufariki jana hiyo hiyo.
Mama amwua binti yake mwenye miaka minne kisa ikiwa ni kutopiga mswaki Mama amwua binti yake mwenye miaka minne kisa ikiwa ni kutopiga mswaki Reviewed by Zero Degree on 2/05/2017 07:52:00 PM Rating: 5

Powered by Blogger.