Loading...

Hii hapa Taarifa ya Spika wa Bunge, Job Ndugai na wajumbe wa kamati ya Bunge baada ya kutembelea TPA

Spika Ndugai alipotembelea bandari ya Dar Jumapili.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai alifanya ziara katika bandari ya Dar es Salaam, TPA kwa lengo la kukutana na mamlaka hiyo ili kupata maelezo ya kina juu ya makontena yenye mchanga wa dhahabu yanayoshikiliwa na mamlaka hiyo yaliyokuwa yasafirishwe nje ya nchi.

Hii ni taarifa ya walichokibaini:

Hii hapa Taarifa ya Spika wa Bunge, Job Ndugai na wajumbe wa kamati ya Bunge baada ya kutembelea TPA Hii hapa Taarifa ya Spika wa Bunge, Job Ndugai na wajumbe wa kamati ya Bunge baada ya kutembelea TPA Reviewed by Zero Degree on 3/28/2017 10:37:00 AM Rating: 5

Powered by Blogger.