Loading...

Makada 12 wa Chama Cha Mapinduzi [CCM] wavuliwa uanachama

Chama cha Mapinduzi kimewafukuza makada 12 wa chama hicho wakiwemo wanachama mkongwe kama, Sophia Simba, Ramadhan Madabida na Jesca Msambatavangu.

Wakati wanachama hao wakifukuzwa wengine wanne wamepewa onyo kali, sita wamevuliwa uongozi na kuwekwa chini ya uangalizi mkali wa miezi 30, huku mwenyekiti wa chama hicho Dodoma, Adam Kimbisa akisamehewa.

Uamuzi huo umetolewa baada wa kikao cha Nec kilichofanyika Dodoma leo (Jumamosi) na kuongozwa na mwenyekiti wake, Rais John Magufuli.
Makada 12 wa Chama Cha Mapinduzi [CCM] wavuliwa uanachama Makada 12 wa Chama Cha Mapinduzi [CCM] wavuliwa uanachama Reviewed by Zero Degree on 3/11/2017 06:11:00 PM Rating: 5

Powered by Blogger.