Loading...

Pamoja na ushindi wa goli 5 bila, ..Mashabiki Arsenal wazidi kumkazia Wenger aondoke

Pamoja na ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Lincoln katika Kombe la FA, mashabiki wa Arsenal wanaonekana wanataka kilekile wanachotaka nacho ni Kocha Arsene Wenger kuachia ngazi.


Mashabiki wameendelea kuandamana mitaani wakiwa wameanzisha kampeni mpya waliyoibandika jina la “Wexit”.

Wexiti ni muunganiko wa maneno mawili, Wenger na Exit ikiwa ni sehemu ya wao kuonyesha sasa wako siriaz wanataka Wenger aondoke.


Pamoja na ushindi wa goli 5 bila, ..Mashabiki Arsenal wazidi kumkazia Wenger aondoke Pamoja na ushindi wa goli 5 bila, ..Mashabiki Arsenal wazidi kumkazia Wenger aondoke Reviewed by Zero Degree on 3/12/2017 02:57:00 PM Rating: 5

Powered by Blogger.