Loading...

Audio: Wimbo mpya wa mwanadada, Lulu diva - 'Utamu'


MWANADADA anayefanya vizuri kwenye Muziki wa Bongo Fleva na wimbo wake wa Usimwache, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ ameachia ngoma mpya ya Utamu wiki hii.

Maoni yako ni muhimu sana kwa msanii wetu, itamsaidia kujua jinsi wimbo wake ulivyopokelewa na mashabiki wake. Hivyo usisahau kutiririka baada ya kuusikiliza wimbo huo:

Audio: Wimbo mpya wa mwanadada, Lulu diva - 'Utamu' Audio: Wimbo mpya wa mwanadada, Lulu diva - 'Utamu' Reviewed by Zero Degree on 6/17/2017 09:52:00 AM Rating: 5

Powered by Blogger.