Loading...

Utafiti: Walaji wa nyama ya Nguruwe hatarini kupata ugonjwa wa kifafa


Nchini Tanzania nyama ya nguruwe ni maarufu katika maeneo mbali mbali ya starehe na imepewa majina mengi ,kama vile mkuu wa meza, kiti moto na mengineyo mengi.

Hata hivyo utafiti wa kisayansi kutoka chuo kikuu cha kilimo cha sokoine ( SUA), umebaini kuwa walaji wa nyama ya nguruwe wako katika hatari ya kupata magonjwa kama vile kifafa kutokana na mnyoo Tegu uliopo kwenye nyama ya nguruwe.

Mwandishi wa BBC Maximiliana Mtenga amezungumza na mtafiti wa magonjwa ya binadamu na wanyama Dkt. Boa Mathias Emanuel kutoka chuo kikuu cha SUA, na kwanza amemuuliza ueneaji wa ugonjwa huu. Zaidi bofya Hapa.
Utafiti: Walaji wa nyama ya Nguruwe hatarini kupata ugonjwa wa kifafa Utafiti: Walaji wa nyama ya Nguruwe hatarini kupata ugonjwa wa kifafa Reviewed by Zero Degree on 9/13/2017 07:37:00 AM Rating: 5

Powered by Blogger.