Huu ndio waraka uliotolewa na BASATA kuhusu Amber Rutty
Kwa mujibu wa barua hiyo imeelezea kwamba iwapo Amber Rutty atafanya kosa lolote na kuvunja sheria, wahusika watamchukulia hatua stahili na halitajihusisha nae.
Sambamba na hilo barua hiyo imewaasa wasanii wote kufuata maadili na kutovunja sheria za nchi, ili kutetea sanaa yao.
Usome hapa:
Sambamba na hilo barua hiyo imewaasa wasanii wote kufuata maadili na kutovunja sheria za nchi, ili kutetea sanaa yao.
Usome hapa:
Huu ndio waraka uliotolewa na BASATA kuhusu Amber Rutty
Reviewed by Zero Degree
on
10/27/2018 04:05:00 PM
Rating: