Rais Kenyatta azindua sarafu mpya Kenya
Urithi wa Kenya wa wanyama wa porini unaonekana dhahiri kwenye sarafu hizo ambazo zimetolewa upya kutokana na utashi wa katiba mpya inayotaka kuondolewa kwa sura za viongozi na kuweka vivutio vya nchi.
Wanyama walio katika sarafu hizo ni tembo, vifaru, twiga na simba ambazo zinaonekana upande mmoja kama ilivyo katika noti.
Rais Uhuru Kenyatta alikuwa mgeni rasmi wakati wa uzinduzi wa sarafu hizo zilizopewa jina la "Kizazi Kipya cha sarafu".
Wanyama walio katika sarafu hizo ni tembo, vifaru, twiga na simba ambazo zinaonekana upande mmoja kama ilivyo katika noti.
Rais Kenyatta azindua sarafu mpya Kenya
Reviewed by Zero Degree
on
12/11/2018 12:05:00 PM
Rating: