Loading...

Taji la Miss World laenda Mexico


Mashindano ya Miss World yamemalizika huko China kwa mrembo kutoka nchini, Mexico Venessa Ponce De Leon kutwaa taji la Miss World 2018.

Hapo awali taji hilo lilikuwa linashikiliwa na mrembo kutoka India, Manushi Chhillar’s.


Akiongea muda mchache baada ya taji hilo, alisema anashukuru kuwa mwakilishi wa warembo wote walioshiriki kwa kuwa kila mmoja alistahili ushindi huyo

“Siweyi kuamini, siwezi kuamini kabisa… Na nafikiri wasichana wote walistahili ushindi. Najisikia faraja kuwawakilisha. Nitafanya kila niwezalo katika muda nilionao. Nawashukuru wote,” alisema Vanessa baada ya kutwaa taji hilo nchini China.

Hatika hatua nyingine Miss Uganda, yatamba na kuibuka Miss World Africa baada ya kuingia top 5 ya Miss World.

Orodha ya washindi 5 bora:
  1. Mexico – Americas
  2. Thailand – Asia/Occenia
  3. Uganda – Africa
  4. Jamaica – Caribbean
  5. Belarus – Europrle
Katika orodha ya washindi 30 bora nchi nyingine za Kiafrika zilizoingia ni Nigeria, Mauritius, S.Africa na Uganda ambayo imefika hadi top 5.
Taji la Miss World laenda Mexico Taji la Miss World laenda Mexico Reviewed by Zero Degree on 12/09/2018 07:20:00 AM Rating: 5

Powered by Blogger.