Ujumbe wa Mo Dewji waibua hisia kali mitandaoni
Katika ujumbe huo Mo ambaye alitekwa na watu wasiojulikana Oktoba 11, 2018 na kupatikana Oktoba 20, 2018 ameandika, “Hutofanya ubaya kwa aliyekufanyia ubaya, ila utamsamehe na kumfanyia ukarimu.” Mtume Muhammad (S.A.W) JumaahKareem.
Baada ya ujumbe huo watu wa kada mbalimbali wametoa maoni yao akiwemo waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii, Khamis Kagasheki aliyesema, “Hii ni imani ya ngazi ya juu sana.”
Ujumbe wa Mo Dewji waibua hisia kali mitandaoni
Reviewed by Zero Degree
on
12/14/2018 06:05:00 PM
Rating: