Al Shabab wafanya shambulio Kenya
Tukio hilo limetokea leo Jumanne Januari 15, ambapo kundi la kigaidi la Al Shabab limedai kuhusika na tukio hilo.
Jeshi la Polisi la Kenya limethibitisha kutokea kwa tukio hilo kupitia ukurasa wake wa Twitter na kuwatahadharisha watuamiaji wa barabara ya eneo hilo kutumia njia mbadala ili kuwarasishia polisi kufanya operesheni.
Polisi wakiongozwa na Mkuu wa Polisi wa Uchunguzi wa Jinai George Kinoti wamefika eneo hilo ili kuratibu operesheni ya uokozi wa watu waliokwama ndani.
Jumba hilo la kifahari lina hoteli kubwa na ofisi za watu mbalimbali.
Al Shabab wafanya shambulio Kenya
Reviewed by Zero Degree
on
1/15/2019 05:35:00 PM
Rating:
Reviewed by Zero Degree
on
1/15/2019 05:35:00 PM
Rating:
