Baba mzazi wa Mrisho Ngassa afariki dunia
Kupitia akaunti yake ya instagram, Ngasa ameandika ujumbe unaosema “Pumzika kwa amani baba yangu mcheshi wangu mtani wangu leo hii umetutoka baba R.I.P”
Wakati Ngassa akipata pigo hilo, jana mlimda mlango wa timu hiyo Klaus Kindoki naye Baba yake Mzee Kindoki Nkinzi alifariki na leo anaanza kuitumikia timu yake hiyo, atakwenda msibani baada ya mchezo wa leo dhidi ya Stand United.
Baba mzazi wa Mrisho Ngassa afariki dunia
Reviewed by Zero Degree
on
1/19/2019 04:05:00 PM
Rating:
Reviewed by Zero Degree
on
1/19/2019 04:05:00 PM
Rating:

