Dili la Kichuya kwenda Misri mbioni kukamilika
Simba imethibitisha hilo kupitia taarifa yake kwa umma ambapo imeweka wazi kuwa muda wowote kuanzia sasa itamalizana na Pharco.
Pharco inashiriki ligi daraja la pili nchini humo ambayo ni ya pili kwa ngazi ya ubora ukiacha ligi kuu ambayo hujulikana kama ligi daraja la kwanza.
Makao makuu ya Pharco ambayo ilianzishwa mwaka 2010 yapo jijini Alexandria na Mwenyekiti wake ni Ezz Bashar Helmy.
Makao makuu ya Pharco ambayo ilianzishwa mwaka 2010 yapo jijini Alexandria na Mwenyekiti wake ni Ezz Bashar Helmy.
Kichuya anakwenda kuwa mchezaji wa 3 wa Tanzania anayecheza Misri wengine wakiwa ni Himid Mao na Yahya Zayd.
Dili la Kichuya kwenda Misri mbioni kukamilika
Reviewed by Zero Degree
on
1/31/2019 06:50:00 AM
Rating: