Mtanzania Shaban Chilunda shavu kwenye klabu nyingine ya Hispania
Chilunda amejiunga na klabu hiyo ya CD Izarra akitokea timu ya CD Tenerife inayoshiriki ligi daraja la kwanza ya nchini humo kwa usajili wa mkopo.
Chilunda ambaye alitokea Azam FC ya jijini Dar es Salaam alijiunga na CD Tenerife kwa msimu wa mwaka 2018/19.
Mtanzania Shaban Chilunda shavu kwenye klabu nyingine ya Hispania
Reviewed by Zero Degree
on
1/23/2019 12:50:00 PM
Rating:
Reviewed by Zero Degree
on
1/23/2019 12:50:00 PM
Rating:
