Tanzia: Baba mzazi wa Alikiba afariki dunia
Kwa mujibu wa taarifa ya GPL, Abuu Kiba ambaye ni mdogo wa Ali Kiba amesema mwili wa marehemu bado umehifadhiwa Muhimbili na msiba upo nyumbani kwao Kariakoo na kwamba mazishi yatafanyika leo saa 10 jioni.
Inaelezwa kuwa, Mzee Kiba ambaye pia ni baba mzazi wa msanii Abdu Kiba na Zabibu Kiba amekua akiugua kwa muda sasa huku akiendelea kutibiwa.
Inaelezwa kuwa, Mzee Kiba ambaye pia ni baba mzazi wa msanii Abdu Kiba na Zabibu Kiba amekua akiugua kwa muda sasa huku akiendelea kutibiwa.
Tanzia: Baba mzazi wa Alikiba afariki dunia
Reviewed by Zero Degree
on
1/17/2019 10:05:00 AM
Rating: