Ephraim Kibonde azikwa makaburi ya Kinondoni
Amezikwa na maelfu ya watu ambao ni ndugu, jamaa na marafiki aliokuwa akifanya nao shughuli mbalimbali enzi za uhai wake na wengine waliomjua kupitia kazi yake ya utangazaji.
Kibonde alifariki dunia Machi 7 mwaka huu baada ya kuugua Presha kwa muda mfupi akiwa kwenye mazishi ya Ruge Mutahaba.
Ameacha watoto watatu, wakike wawili na mmoja wakiume.
Kibonde alifariki dunia Machi 7 mwaka huu baada ya kuugua Presha kwa muda mfupi akiwa kwenye mazishi ya Ruge Mutahaba.
Ameacha watoto watatu, wakike wawili na mmoja wakiume.
Ephraim Kibonde azikwa makaburi ya Kinondoni
Reviewed by Zero Degree
on
3/09/2019 05:50:00 PM
Rating:
