Kocha Arsenal: Watford walikuwa bora zaidi yetu
Arsenal jana iliduwazwa baada ya Watford kupata penalti dakika ya 81 iliyofungwa na Roberto Pereyra. Bao jingine lilifungwa na Tom Cleverley.
Nahodha wa Gabon, Pierre Emerick-Aubameyang, aliyekuwa nyota wa mchezo, alifunga mabao mawili ya Arsenal.
“Kwa utimamu wa mwili walikuwa bora zaidi yetu. Tuna vijana wadogo wanaendelea kujifunza na wanapata uzoefu kama huu wa leo (jana),” alisemas Emery.
Kocha huyo wa zamani wa Paris Saint Germain (PSG), alisema wamefanya makosa na wanatafuta namna ya kurekebisha.
Kocha wa Watford, Sanchez Flores alidai amevutiwa na kiwango bora cha wachezaji wake waliocheza kwa kujiamini.
Nahodha wa Gabon, Pierre Emerick-Aubameyang, aliyekuwa nyota wa mchezo, alifunga mabao mawili ya Arsenal.
“Kwa utimamu wa mwili walikuwa bora zaidi yetu. Tuna vijana wadogo wanaendelea kujifunza na wanapata uzoefu kama huu wa leo (jana),” alisemas Emery.
Kocha huyo wa zamani wa Paris Saint Germain (PSG), alisema wamefanya makosa na wanatafuta namna ya kurekebisha.
Kocha wa Watford, Sanchez Flores alidai amevutiwa na kiwango bora cha wachezaji wake waliocheza kwa kujiamini.
Kocha Arsenal: Watford walikuwa bora zaidi yetu
Reviewed by Zero Degree
on
9/16/2019 07:10:00 AM
Rating: