Azam kuchomoa mastaa wanne kutoka Simba na Yanga (+Video)
![]() | |
|
Ibwe ameweka wazi kuwa tayari wametuma ofa kwa mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize na bado wanaendelea kutuma ofa kwa wachezaji wengine na wanaamini kama ofa hizo zitapokelewa basi msimu ujao kuna wachezaji wawili wa kigeni na wawili wa nyumbani kutoka vilabu hivyo, wataitumikia Azam FC.
Azam kuchomoa mastaa wanne kutoka Simba na Yanga (+Video)
Reviewed by Zero Degree
on
4/18/2024 03:05:00 PM
Rating:
