Rais Samia ashiriki katika kumbukumbu ya mauaji ya Kimbari
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akielekea kwenye eneo la Makaburi kwa ajili ya kuweka shada la maua wakati wa Maadhimisho ya miaka 30 tangu kutokea mauaji ya Kimbari Kigali nchini Rwanda.
Maadhimisho hayo ya miaka 30 yamefanyika katika Makumbusho ya Mauaji ya Kimbari, Kigali nchini Rwanda na kuhudhuriwa na viongozi kutoka nchi mbalimbali tarehe 07 Aprili, 2024.
Rais Samia ashiriki katika kumbukumbu ya mauaji ya Kimbari
Reviewed by Zero Degree
on
4/07/2024 02:50:00 PM
Rating: