Rangnick aitolea nje Bayern Munich
Kocha Ralf Rangnick amekataa ombi la Bayern, la kuwa meneja mpya wa Klabu hiyo kwa sababu zake binafsi.
Kocha huyo, ambaye kwa sasa anainoa Austria amekataa ombi la kuwa meneja mpya wa klabu ya Bayern Munich ya Bundesliga.
“Mimi ni kocha wa timu ya Austria kwa moyo wangu wote, sio kwamba naikataa Bayern, lakini ni uamuzi kwa timu yangu na malengo yetu ya pamoja,” amesema Rangnick.
Rangnick aitolea nje Bayern Munich
Reviewed by Zero Degree
on
5/02/2024 06:29:00 PM
Rating: