Loading...

Mhe. Dkt. Selemani Jafo akipokea tuzo maalumu kutoka BRELA

Waziri wa Viwanda Mhe. Dkt. Selemani Jafo akipokea tuzo maalumu kutoka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri BRELA  Prof. Neema Mori


Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Jafo (Mb) akipokea tuzo maalumu kutoka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri BRELA Prof. Neema Mori kwa mchango wake mkubwa katika sekta ya Viwanda na Biashara nchini, wakati wa Maadhimisho ya siku ya Miliki Bunifu Duniani na Tuzo za Taifa za Miliki Ubunifu 2025 leo Mei 21, 2025 Johari Rotana, Dar es Salaam.




Mhe. Dkt. Selemani Jafo akipokea tuzo maalumu kutoka BRELA Mhe. Dkt. Selemani Jafo akipokea tuzo maalumu kutoka BRELA Reviewed by Zero Degree on 5/21/2025 08:50:00 PM Rating: 5

Powered by Blogger.