Cliford Mario Ndimbo (kushoto) na Ahmed Hussein (kulia)
Ofisa Habari na Mawasiliano TFF, Cliford Mario Ndimbo na Ahmed Hussein wameteuliwa na CAF kuwa Maofisa Habari wa mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) Simba SC (Tanzania) vs RS Berkane (Morocco) utakaochezwa uwanja wa New Amaan, Zanzibar Mei 25, 2025.
Ndimbo, Ahmed kuwa maofisa habari Simba Vs Berkane
Reviewed by Zero Degree
on
5/20/2025 01:57:00 PM
Rating: 5