Mashabiki wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars)
Mashabiki wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) na wapenzi wa mpira wa miguu, tayari wameanza kusogea katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam, tayari kwa ajili ya mechi ya Taifa Stars dhidi ya Morocco, itakayochezwa saa 2:00 usiku katika uwanja huo, leo Agosti 22, 2025.
Mashabiki wa Taifa Stars waanza kujongea uwanjani
Reviewed by Zero Degree
on
8/22/2025 05:31:00 PM
Rating: 5