Loading...

Sadio Kanoute atua Chamazi kwa mkataba wa miaka miwili


Aliyekuwa kiungo wa klabu ya Simba SC, raia wa Mali, Sadio Kanoute, 28 amejiunga na Azam FC kwa mkataba wa miaka miwili kuitumikia klabu hiyo ya Chamazi.




Sadio Kanoute atua Chamazi kwa mkataba wa miaka miwili Sadio Kanoute atua Chamazi kwa mkataba wa miaka miwili Reviewed by Zero Degree on 8/11/2025 11:46:00 PM Rating: 5

Powered by Blogger.