Loading...

P. Diddy amehukumiwa kifungo cha miezi 50 jela

Masanii wa muziki wa rap kutoka Marekani, Sean “Diddy” Combs

Rapa na mfanyabiashara mashuhuri Sean “Diddy” Combs amehukumiwa kifungo cha miezi 50 jela (takribani miaka 4 na miezi 2) chini ya Sheria ya Shirikisho ya Mann Act, kwa makosa ya kusafirisha watu kwa ajili ya biashara haramu ya ngono. Hukumu hii inajumuisha miezi 14 aliyokuwa tayari ametumikia (time served).

Mbali na kifungo, Diddy amepigwa pia faini ya $500,000 (sawa na Tsh bilioni 1.2) na atawekwa chini ya uangalizi wa miaka mitano mara baada ya kutumikia kifungo.
P. Diddy amehukumiwa kifungo cha miezi 50 jela P. Diddy amehukumiwa kifungo cha miezi 50 jela Reviewed by Zero Degree on 10/04/2025 01:44:00 AM Rating: 5

Powered by Blogger.