Loading...

Serikali yaiongeze Kampuni ya Viettel nyongeza ya Mkataba wa ujenzi wa miundombinu ya mawasiliano


Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Viettel, Bi. Nguyen Thi Hoa wametia saini Hati ya Makubaliano (Deed of Settlement) na nyongeza ya Mkataba (Addendum) wa ujenzi wa miundombinu ya mawasiliano kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Kampuni ya Viettel Global Joint Stock (VTG).


Hati hiyo imesainiwa katika hafla ilikayofanyika Oktoba 6, 2025 katika ofisi za Wizara hiyo, zilizopo Mji wa Serikali Mtumba.
Serikali yaiongeze Kampuni ya Viettel nyongeza ya Mkataba wa ujenzi wa miundombinu ya mawasiliano Serikali yaiongeze Kampuni ya Viettel nyongeza ya Mkataba wa ujenzi wa miundombinu ya mawasiliano Reviewed by Zero Degree on 10/06/2025 05:58:00 PM Rating: 5

Powered by Blogger.