Majina ya walioteuliwa Viti Maalumu na Dkt. Samia Suluhu Hassan
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa mamlaka aliyonayo chini ya Ibara ya 66(1)(e) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, amewateua wafuatao kuwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:-
(i) Dkt. Dorothy Onesphoro Gwajima
(ii) Balozi Mahmoud Thabit Kombo
(iii) Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa
(iv) Bw. Abdullah Ali Mwinyi
(v) Balozi Khamis Mussa Omar, na
(vi) Dkt. Rhimo Simeon Nyansaho
(i) Dkt. Dorothy Onesphoro Gwajima
(ii) Balozi Mahmoud Thabit Kombo
(iii) Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa
(iv) Bw. Abdullah Ali Mwinyi
(v) Balozi Khamis Mussa Omar, na
(vi) Dkt. Rhimo Simeon Nyansaho
Majina ya walioteuliwa Viti Maalumu na Dkt. Samia Suluhu Hassan
Reviewed by Zero Degree
on
11/10/2025 01:39:00 PM
Rating:
Reviewed by Zero Degree
on
11/10/2025 01:39:00 PM
Rating:

