Kazi bado ipo - Ibrahim Ajibu
Kwa mujibu wa gazeti la Championi, hili, Ajibu alisema kuwa timu imeanza kwa kasi kutokana na ubora wa kikosi pamoja na ushirikiano uliopo jambo linalowapa nafasi ya kushinda michezo yao.
Ajibu akiwa mazoezini |
“Kila mechi kwetu ni muhimu na tunacheza kwa kuamini kwamba ushindani ni mkubwa ila bado tutaendelea kupambana.
“Kazi bado ipo kutokana na ukweli kwamba michezo ipo mingi kushinda kwetu michezo ya mwanzo kunatuongezea hali ya kujiamini katika michezo inayofuata,” alisema. Msimu uliopita akiwa Yanga alitoa asisti 17, lakini hadi sasa akiwa ndani ya Simba ametoa moja.
Kazi bado ipo - Ibrahim Ajibu
Reviewed by Zero Degree
on
10/06/2019 11:11:00 AM
Rating: