UEFA yaiadhibu Manchester City
Zagreb pia nao wameshitakiwa kwa kosa kama hilo pamoja na kutakiwa kulipa gharama ya uharibifu kwenye Uwanja wa Etihad Stadium. Kesi hiyo itasikilizwa na Uefa Oktoba 17 mwaka huu.
Timu ya Ugiriki ya Olympiakos yenyewe imeshtakiwa kwa kosa la kufanya vitendo vya kiubaguzi kupitia mabango wakati timu yao ilipofungwa 3-1 na Red Star Belgrade. Kesi hiyo ilitarajia kusikilizwa jana, Oktoba 4.
UEFA yaiadhibu Manchester City
Reviewed by Zero Degree
on
10/06/2019 02:50:00 PM
Rating: