Loading...

Rais wa Misri awasili nchini Tanzania kwa ziara ya kikazi


Rais wa Misri, Abdel Fattah El-Sisi amewasili nchini Tanzania na kupokelewa na mwenyeji wake, Rais John Pombe Magufuli kwa ziara ya kikazi ya siku mbili.


Amewasili kwa ndege maalum ya serikali ya Misri na kupokelewa kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.

Rais wa Misri awasili nchini Tanzania kwa ziara ya kikazi Rais wa Misri awasili nchini Tanzania kwa ziara ya kikazi Reviewed by Zero Degree on 8/14/2017 12:30:00 PM Rating: 5

Powered by Blogger.