FIFA yaitolea nje Leicester City
Leicester iliwasilisha stakabadhi za kuhama kwa Silva kwa kima cha pauni milioni 22, wakiwa wamechelewa kwa sekunde 14 wakati wa siku ya kukamilika tarehe ya kuhama wachezaji tarehe 31 mwezi Agosti
Sasa Leicester wataweza kumjumuisha Silva kwa kisosi chao wakati wa kuanza tena msimu wa wachezaji kuhama mwezi Januari.
Sasa Leicester wataweza kumjumuisha Silva kwa kisosi chao wakati wa kuanza tena msimu wa wachezaji kuhama mwezi Januari.
Silva alirudi katika uga wa Estadio Jose Alvalade siku ya Jumapili, kuwapa kwaheri mashabiki ya klabu yake ya zamani kabla ya sare ya 0-0 na mahasimu Porto.
Alirejea uUeno mwezi uliopita kujiunga na famalia yake.
Leicester ambao kwa sasa wako nafasi 17 katika Premier League kwa ushindi mmoja tu msimu huu, walimuuza Danny Drinkwater kwenda Chelsea kwa pauni milioni 35 huku Silva akitarajiwa kuchukua nafasi yake.
Alirejea uUeno mwezi uliopita kujiunga na famalia yake.
Leicester ambao kwa sasa wako nafasi 17 katika Premier League kwa ushindi mmoja tu msimu huu, walimuuza Danny Drinkwater kwenda Chelsea kwa pauni milioni 35 huku Silva akitarajiwa kuchukua nafasi yake.
FIFA yaitolea nje Leicester City
Reviewed by Zero Degree
on
10/04/2017 04:03:00 PM
Rating:
