Loading...

Ujumbe wa Nape kwa Tundu Lissu


Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye amemtaka Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu atulie hadi apone kabla hajasema mengi.


Katika kurasa zake za mitandao ya kijamii ya leo Alhamisi akiwa ameambatanisha na picha ya Lissu ameandika, “Mjomba tunamshukuru Mungu kwa tabasamu hili la matumaini! Nakuombea afya iimarike kabla hujasema mengi! Tulia mjomba upone kabisa kwanza!”
Ujumbe wa Nape kwa Tundu Lissu Ujumbe wa Nape kwa Tundu Lissu Reviewed by Zero Degree on 10/20/2017 12:25:00 AM Rating: 5

Powered by Blogger.