Loading...

Forbes yatangaza watu 10 wenye ushawishi zaidi Duniani

Rais wa China (Kulia), Xi Jinping akiwa na rais wa Urusi, Vladimir Putin (Kushoto)
Kiongozi wa China Xi Jinping ndiye mtu mwenye ushawishi Zaidi duniani, kwa mujibu wa jarida la Forbes. Amechukua nafasi hiyo baada ya bunge China kumpa mamlaka zaidi na kuondoa kikomo muhula wa rais.

Jingping amechukua nafasi hiyo kutoka kwa Rais Vladimir Putin wa Urusi ambaye kwa sasa anashika nafasi ya pili.


Orodha hiyo hapo chini:

1. Xi Jinping
2. Vladimir Putin
3. @realDonaldTrump
4. Angela Merkel
5 @JeffBezos @amazon
6. Pope Francis
7. @BillGates
8. Mohammed bin Salman Al Saud
9. @narendramodi
10. Larry Page @Google
Forbes yatangaza watu 10 wenye ushawishi zaidi Duniani Forbes yatangaza watu 10 wenye ushawishi zaidi Duniani Reviewed by Zero Degree on 5/12/2018 11:50:00 AM Rating: 5

Powered by Blogger.