Tanzia: Hussein Bashe afiwa na mama yake
Kupitia akaunti yake ya Twitter, Bashe amesema;
“Ndugu zangu nimeondokewa na mama yangu mpendwa. Inna lillahi wa inna ilayhi raji’un.”
“Ndugu zangu nimeondokewa na mama yangu mpendwa. Inna lillahi wa inna ilayhi raji’un.”
Endelea kufuatilia ukurasa huu kwa taarifa zaidi.
Tanzia: Hussein Bashe afiwa na mama yake
Reviewed by Zero Degree
on
6/01/2018 11:50:00 AM
Rating:
