Majina ya waliopitishwa kuwania nafasi ya Manji Yanga
Nafasi ya Makamu mwenyekiti wagombea waliopitishwa ni Titus Osoro,Pindu Luhoyo na Salum Magege Chota wakati Mgombea mmoja Yono Kevela ameenguliwa kwa matakwa ya kikatiba.
Nafasi ya Ujumbe waliopitishwa ni Athanas Kazighe,Ramadhan Said, Salim Rupia, Dominic Francis,Shafii Amri, Benjamin Mwakasonda,Christopher Kashiririka,Ally Msigwa,Silvester Haule,Arafat Haji,Frank Kalokole na Said Kambi.
Wagombea Wanne wameshindwa kufika kwenye usaili Hamad Islam,Seko Kongo,Leonard Marango na Benard Mabula kwa mujibu wa kanuni wameenguliwa katika uchaguzi.
Wagombea ambao hawajapitishwa wanayo haki ya kukata rufaa kwenye Kamati ya Rufaa ya Uchaguzi ya TFF.
Majina ya waliopitishwa kuwania nafasi ya Manji Yanga
Reviewed by Zero Degree
on
12/09/2018 02:55:00 PM
Rating: