Makambo aletewa kiatu maalumu toka Uturuki
Mdau huyo mwenye duka la michezo la Just Fit lililopo Mlimani City jijini Dar amemnunulia kiatu hicho mshambuliaji huyo sambamba na beki Abdallah Shaibu ‘Ninja’ ambavyo atawapa hivi karibuni kwa ajili ya kuvitumia kwenye michezo ya ligi.
Kwa mujibu wa taarifa ya Champion, Mzee Karama amesema kuwa anamletea Makambo viatu hivyo kwa ajili ya kuongeza idadi ya mabao ambapo tayari ameshavilipia.
“Nipo Uturuki na nimenunua viatu vya Makambo na Ninja ambavyo nawaletea, tayari nimeshavilipia. Namletea Mkambo hili mabao yaongezeke,” alisema Mzee Karama.
Makambo aletewa kiatu maalumu toka Uturuki
Reviewed by Zero Degree
on
12/21/2018 09:50:00 AM
Rating:
Reviewed by Zero Degree
on
12/21/2018 09:50:00 AM
Rating:
