Simba yaichakaza Nkana FC bao 3-1 Taifa
Dakika 5 za mwanzo Simba walianza vizuri ila ndani ya dakika 15 walipoteana na kuruhusu bao la dakika ya 16 lililofungwa na Walter Bwalya baada ya kushambulia lango la Simba kwa muda mrefu.
Iliwalazimu Simba wasubiri mpaka dakika ya 29 akimalizia pasi ya Claytous Chama na dakika ya 45 Meddie Kagere aliandika bao kwa kichwa akimalizia pasi ya James Kotei.
Kipindi cha pili dakika ya 88 Claytous Chama alifunga bao akimalizia pasi ya Hassan Dilunga.
Simba wanafanikiwa kufuzu hatua ya makundi kwa ushindi wa jumla ya mabao 4-3.
Kipindi cha pili dakika ya 88 Claytous Chama alifunga bao akimalizia pasi ya Hassan Dilunga.
Simba wanafanikiwa kufuzu hatua ya makundi kwa ushindi wa jumla ya mabao 4-3.
Simba yaichakaza Nkana FC bao 3-1 Taifa
Reviewed by Zero Degree
on
12/23/2018 06:05:00 PM
Rating:
Reviewed by Zero Degree
on
12/23/2018 06:05:00 PM
Rating: