Loading...

Kegere anyakua tuzo ya Mchezaji Bora wa mwezi Agosti


Mshambuliaji wa Simba, Meddie Kagere amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa mwezi Agosti akiwashinda Lucas Kikoti wa Namungo na Seif Karihe wa Lipuli.

Naye Kocha wa Ruvu Shooting, Salum Mayanga amechaguliwa kuwa Kocha Bora wa mwezi huo akiwashinda Mecky Mexime wa Kagera Sugar na Hitimana Thiery wa Namungo
Kegere anyakua tuzo ya Mchezaji Bora wa mwezi Agosti Kegere anyakua tuzo ya Mchezaji Bora wa mwezi Agosti Reviewed by Zero Degree on 9/11/2019 08:05:00 AM Rating: 5

Powered by Blogger.