Jumamosi tunaenda kutafuta pointi 3 - Ali Kamwe
Ali Kamwe amewataka mashabiki wa klabu ya Yanga kuelekeza akili zaidi kwenye kupata alama tatu za mchezo wao dhidi ya Simba SC zaidi ya kufikiri zaidi kupata mabao mengi katika mchezo huo dhidi ya wapinzani wao wa jadi.
“Novemba tano tulienda na ajenda ya alama tatu bahati nzuri kwetu wakachukua kiganja, jumamosi tunaenda kutafuta alama tatu ila wakajichanganya wakaamka vibaya tutalaumiana,” Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ally Kamwe.
Jumamosi tunaenda kutafuta pointi 3 - Ali Kamwe
Reviewed by Zero Degree
on
4/15/2024 03:05:00 PM
Rating:
Reviewed by Zero Degree
on
4/15/2024 03:05:00 PM
Rating:
