Wafanyabiashara mtandaoni watakiwa kuanza kulipa kodi
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda amezindua kampeni ya Elimu ya Kodi kwa Biashara za Mtandaoni na kuwataka watuvwote wanaojihusisha na biashara mtandaoni kujisajili na kuanza kulipa Kodi.
Uzinduzi huo umefanyika leo tarehe 9 Agost, 2025 Serena Hotel Jijini Dar es Salaam.
Wafanyabiashara mtandaoni watakiwa kuanza kulipa kodi
Reviewed by Zero Degree
on
8/09/2025 11:57:00 PM
Rating:
Reviewed by Zero Degree
on
8/09/2025 11:57:00 PM
Rating:
