Yanga SC imevunja mkataba na Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza, Romain Folz
UONGOZI wa Young Africans Sports Club umevunja mkataba na Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza, Romain Folz.
Kwa sasa kikosi cha klabu hiyo kitakuwa chini ya kocha Msaidizi Patrick Mabedi huku mchakato wa kutafuta Kocha Mkuu ukiendelea.
Hapo chini ni taarifa kamili iliyotolewa na uongozi wa klabu ya Yanga:
Yanga SC imevunja mkataba na Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza, Romain Folz
 Reviewed by Zero Degree
        on 
        
10/18/2025 10:51:00 PM
 
        Rating:
 
        Reviewed by Zero Degree
        on 
        
10/18/2025 10:51:00 PM
 
        Rating: 
 Reviewed by Zero Degree
        on 
        
10/18/2025 10:51:00 PM
 
        Rating:
 
        Reviewed by Zero Degree
        on 
        
10/18/2025 10:51:00 PM
 
        Rating: 


 
 
 
 
 
 
