Loading...

Wajane wa wanasoka waliofariki kwenye ajali ya ndege waishitaki Klabu ya Chapecoense

Familia za wachezaji wa Klabu ya Chepcoence waliofariki katika ajali ya ndege
Wajane wa wanasoka watano wa klabu ya Brazil, Chapecoense, walioaga dunia mwaka jana katika ajali ya ndege Columbia, wameishtaki klabu hiyo.

Wajane hao wanadai fidia zaidi, wakisema kwamba kiasi walichoahidiwa na klabu hiyo hakikuzingatia uwezekano wa wanasoka hao kupata pesa zaidi katika malipo ya ridhaa.
Watu 71 wakiwemo wachezaji 19 wa Chapecoence waliaga dunia wakati wa ajali hiyo.

Source: BBC Swahili
Wajane wa wanasoka waliofariki kwenye ajali ya ndege waishitaki Klabu ya Chapecoense Wajane wa wanasoka waliofariki kwenye ajali ya ndege waishitaki Klabu ya Chapecoense Reviewed by Zero Degree on 3/11/2017 11:53:00 PM Rating: 5

Powered by Blogger.