Trump ammwagia sifa Kanye
Mapema wiki hii msanii huyo aliamua kuweka wazi kuwa alikuwa anatumika kwenye masuala ya siasa, hivyo ni wakati wa kuachana na mambo hayo na kujikita kwenye mambo yake mbalimbali.
Trump alifanya mazungumzo na waandishi wa habari wa Ikulu na kusema kwamba, Kanye West ni kijana bora na ameamua kufanya maamuzi sahihi.
Mapema mwaka huu, Kanye West, alitangaza kuwa kwenye mipango ya kuja kuwania urais katika uchaguzi wa mwaka 2020, lakini amedai alikuwa anatumwa kuongea mambo mengine ambayo yeye mwenyewe alikuwa hayaamini.
Trump alifanya mazungumzo na waandishi wa habari wa Ikulu na kusema kwamba, Kanye West ni kijana bora na ameamua kufanya maamuzi sahihi.
Mapema mwaka huu, Kanye West, alitangaza kuwa kwenye mipango ya kuja kuwania urais katika uchaguzi wa mwaka 2020, lakini amedai alikuwa anatumwa kuongea mambo mengine ambayo yeye mwenyewe alikuwa hayaamini.
Trump ammwagia sifa Kanye
Reviewed by Zero Degree
on
11/02/2018 07:35:00 AM
Rating:
Reviewed by Zero Degree
on
11/02/2018 07:35:00 AM
Rating:
