Afisa Habari wa TFF Cliford Ndimbo ateuliwa na CAF
![]() |
Cliford Mario Ndimbo |
Kwa mujibu wa taarifa ya shirikisho la soka nchini (TFF), Ndimbo atasimamia taarifa zote za mchezo huo utakaopigwa Ijumaa Februari 1, 2019 nchini Afrika Kusini kwenye uwanja wa Loftus Versfeld.
Mamelodi Sundowns na ASEC Mimosas zipo kundi A na mchezo huo utakuwa ni wa tatu kwa kila timu katika hatua hiyo ya makundi.
Timu hizo zote zina alama 3 baada ya kushinda mchezo mmoja na kufungwa moja. Mamelodi wapo nafasi ya tatu kwa uwiano mzuri wa mabao ya kufunga na kufungwa huku ASEC wakiwa katika nafasi ya 3.
Vinara wa kundi hilo ni timu ya Wydad Casablanca ambayo nayo ina alama 3 huku Lobi Stars ya Nigeria ikiwa na alama 3 katika nafasi ya 4 ya kundi hilo.
Mamelodi Sundowns na ASEC Mimosas zipo kundi A na mchezo huo utakuwa ni wa tatu kwa kila timu katika hatua hiyo ya makundi.
Timu hizo zote zina alama 3 baada ya kushinda mchezo mmoja na kufungwa moja. Mamelodi wapo nafasi ya tatu kwa uwiano mzuri wa mabao ya kufunga na kufungwa huku ASEC wakiwa katika nafasi ya 3.
Vinara wa kundi hilo ni timu ya Wydad Casablanca ambayo nayo ina alama 3 huku Lobi Stars ya Nigeria ikiwa na alama 3 katika nafasi ya 4 ya kundi hilo.
Afisa Habari wa TFF Cliford Ndimbo ateuliwa na CAF
Reviewed by Zero Degree
on
1/29/2019 01:28:00 PM
Rating:
