Tetesi za soka barani Ulaya leo Jumanne Januari 29, 2019
Manchester United wamempatia kiungo raia wa Uhispania Juan Mata, 30, mkataba wa miezi 12 ili kumzuia kuondoka kama mchezaji huru mwishoni mwa msimu huu. (Mirror)
Manchester City wanampango wa kumsajili beki wa Leicester raia wa Uingereza Ben Chilwell, 22, mwishoni mwa msimu.
Tottenham wanapanga kumsajili kiungo raia wa Uhispania anayecheza klabu ya Valencia Carlos Soler, 22, mwishoni mwa msimu. (ESPN)
Tottenham wanapanga kumsajili kiungo raia wa Uhispania anayecheza klabu ya Valencia Carlos Soler, 22, mwishoni mwa msimu. (ESPN)
Fer pia anawindwa na miamba ya Uturuki klabu ya Fenerbahce.
Burnley wanapiga hesabu ya kuwanunua streka Che Adams, 22, kutoka Birmingham na streka wa Tottenham Vincent Janssen, 24. (Mail)
Mchezaji nyota wa Liverpool na timu ya taifa ya Senegal Sadio Mane, 26, amesema kwa sasa Liverpool ndiyo kipaumbele chake, akionekana kupuuzia taarifa kuwa anataka kujiunga na Real Madrid. (World Soccer)
![]() |
Sadio Mane, 26 |
Klabu inayochecha Ligi ya Ufaransa maarufu kama Ligue 1 Lille wamo mazungumzoni na klabu ya Swansea kumsajili nahodha wao raia wa Uholanzi to sign their Leroy Fer, 29. (Sky Sport)
Wolves wapo tayari kulipa pauni milioni 18 - ambayo ndiyo rekodi kubwa ya usajili - kumnunua beki raia wa Uhispania Jonny Castro Otto, 24, ambaye kwa sasa anakipiga klabuni hapo kwa mkopo akitokea Atletico Madrid. (Express & Star)
West Ham wamo kwenye mazungumzo na Celta Vigo ili kunua wachezaji wawili; streka wa Uruguay Maxi Gomez, 22, na kiungo wa Slovakia Stanislav Lobotka, 24. (Teamtalk)
West Ham wamo kwenye mazungumzo na Celta Vigo ili kunua wachezaji wawili; streka wa Uruguay Maxi Gomez, 22, na kiungo wa Slovakia Stanislav Lobotka, 24. (Teamtalk)
Chanzo: BBC
Tetesi za soka barani Ulaya leo Jumanne Januari 29, 2019
Reviewed by Zero Degree
on
1/29/2019 12:05:00 PM
Rating:
